YOUTH KINGDOM MINISTRIES (YKM).
Zifuatazo chini ni huduma zote tisa za YKM na maelezo yake kwa ufanisi hivyo pata muda wa kuzisoma na kuzielewa vizuri na kama utapenda kujiunga na mojawapo ya huduma hizi usisite kuwaona wahusika kwa ufafanuzi zaidi. Barikiwa unapochukua muda wako kuzisoma.

1.      Kingdom Inspiration
Isaiah 41:6-7.
Hii inahusika kwa kiasi kikubwa katika kuwatia na kuinua mioyo ya watu katika utendaji wa kazi ya Mungu.
YKM imeanzisha huduma hii kwa sababu vijana wengi wamekuwa wakitenda kazi ya Mungu ila wanapokumbana na changamoto mbalimbali wanajikita wanakata tamaa mapema na kurudi nyuma.
Hivyo basi YKM imekuwa ikiwatia vijana moyo na kuwaeleza kuwa upo ushindi wanapokumbana na changamoto kupitia neno la Mungu.


2.      Mindset Upgrade
Rom 12:2, col 3:1-2
Hii huhusika na kubadilisha mitazamo na fikra za vijana juu ya kusudi la Mungu ndani yao.
Hivyo YKM ilianzisha huduma hii kutokana na kuona kuwa vijana wengi wamejengwa katika mitazamo inayoonekana mizuri kwao  ila si sahihi na Mitazamo hii inatokana na msingi waliojengewa tangu wakiwa watoto. mfano mahubiri, marafiki, walimu, wazazi, ndugu nk.
Hivyo sasa YKM kupitia huduma hii hutoa Taarifa zilizo sahihi ambazo hujenga ufahamu wa vijana juu ya ufalme wa Mungu kupitia simu za mkononi, semina, makongamano, mitandao mbalimbali ya kijamii.


3.      Kingdom charity.
 Matendo 20:35
Ni huduma ndani ya YKM inayolenga kuigusa jamii moja kwa moja kwa kuwasaidia wahitaji kama yatima,walemavu,wajane na watu wenye uwezo wa hali ya chini.
Imebebwa na mstari katika biblia kutoka:-
Matendo 20:35
“katika mambo yote nimewaonyesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge,na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu,jinsi alivyosema mwenyewe,Ni heri kutoa kuliko kupokea.”
Ni sahihi kwamba huwezi kutoa kitu kama huna hicho kitu… ”you can’t give what you don’t have”
Ndo maana hata katika mstari juu “……kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge….”ina maana kuna kufanya kazi ili upate cha kuwasaidia wanyonge na wasio jiweza.
Ni heri kutoa kuliko kupokea maana katika kutoa kuna baraka.Katika biblia ya kiingereza imesema…”it is more blessed to give than to receive”
Na sio kutoa tuu vitu tulivyonavyo kwa jamii ila pia tunatoa nguvu zetu na muda wetu kuitumikia jamii…mfano kufanya usafi maeneo kama ya hospitali.
Ni kwel kuna wakati mtu anahitaji kutoa vitu vingi lakini hana uwezo ila mimi naamini kutoa huanzia moyoni,kama unahitaji kutoa na hauna hiyo pesa,bado unaweza kutoa muda na nguvu zako tu kuwasaidia wahitaji maana sio kila wakati nao wanahitaji vitu,kuna wakati wanahitaji mtu wa kuongea nae tu,wakati mwingine anataka tabasamu tu.


4.      Gospel corner
Mathew 28:16-20
According to Mathew 28:16-20
“16. Then the eleven disciples went away into Galilee, into a mountain where Jesus had appointed them. 17. And when they saw him, they worshipped him; but some doubted. 18. And Jesus came and spake unto them saying, all power is given unto me in heaven and in earth. 19. GO YE THEREFORE, AND TEACH ALL NATIONS, BAPTIZING THEM IN THE NAME OF THE FATHER, AND OF THE SON, AND OF THE HOLY GHOST: 20.TEACHING THEM TO OBSERVE ALL THINGS WHATSOEVER I HAVE COMMANDED YOU: AND LO, I AM WITH YOU ALWAY, EVEN UNTO THE END OF THE WORLD. AMEN” 
The Kingdom Gospel Corner according to the guiding verse from the gospel of Mathew 28:16-20, is the Ministry of teaching and preaching to all nations, baptizing them and teaching them to observe all things which he (Jesus) commanded!!
What is all the teaching and preaching about?
The teaching and preaching that Jesus commanded unto YKM as ministry of Kingdom Gospel Corner is all about the Kingdom of God!!
Mathew 24:14 “And this Gospel of the Kingdom shall be preached in the entire world for a witness unto all nations; and then shall the end come.”
Mathew 4:23 “and Jesus went about all the Galilee, teaching in their synagogues and preach the Gospel of the Kingdom and healing all manner of sickness and all manner of disease among people.”
Mathew 9:35 And Jesus went about all the cities and villages, teaching in their synagogues, and preaching the Gospel of the Kingdom, and healing every sickness and every disease among the people.
What YKM Kingdom Gospel Corner Ministry has done!
It has reached many youth in different areas such as in Colleagues, Universities, working places (offices), Streets, Market places, teaching and preaching about the Kingdom of God!
Many youth who were reached by this Ministry, their attitude towards life changed and they believed in Christ as their savior.

What can be done by Kingdom Gospel Corner Ministry.!
Extending the gospel boundaries to the prisoners in the prisons, through one to one preach and teaching, tapes and DVDs/VCDs.

Preaching and Teaching the Gospel to the Patients in the Hospitals and praying for the sick God to heal them.
Preaching and Teaching the Gospel to Secondary school students for the purpose of building a strong foundation of the word of God.


5.      Kingdom ladies
Ezra 9:2, 2Korintho 6:14
MOTTO: LADIES WITH VALUE.
Connecting Ladies to the Kingdom of God!
 Creating Connections!
Why Ladies? Why should ladies connect? How should they connect? Who should they connect with/to? These are profound questions, look around and you will see that girls or ladies are victims of a lot of things and especially sexual relationships.
Why Ladies…
Ladies are:
ü  Center of attraction
ü  Center attention
ü  Center of attacks
In the Kingdom, any connection is divine, thus it takes the God Himself, Kingdom connections affects the whole being of a person, his or her personality.
Any Kingdom connection is linked to your destiny or the purpose of your life. There must be a reason for connection, the reason will sustain or kill connections. It takes a person to be connected to, not things because people are the ones who gives value to things

“The First and Highest level of connection is to be connected to God Himself through Jesus”

6.      Kingdom gent’s
I wafalme 2:2-3, wakolosai 1:13-14
zaburi 125
MOTTO: PERFORMANCE WITH PURPOSE
Kuwapa gents mwanya wa kujadili na kusaidia kwenye mambo mbalimbali juu ya ufalme wa Mungu na juu ya maisha ya kila siku na bila kusahau majukumu yao kama wanaume.
Kutatua changamoto mbalimbali zinazowakumba wanaume katika makundi mbalimbali na jamii. Mfano: umasikini, kushindwa kutumika kwa ujasiri shambani mwa Bwana kuvunjika kwa familia nyingi.
Kuyatazama kwa ukaribu maswala yaliopewa wepesi katika makanisa, kwa kuyajadili kiundani mfano: kijinsia, uchumba, ndoa,na mchango wa familia imara katika maisha ya wokovu.(looking a man as a head of a family)
Kuzifichua sababu binafsi zinazoharibu jamii zetu hasa ambazo chanzo ni wanaume.

7.      Kingdom transformer
Acts 17:6
Kingdom Transformers is inspired by our motto “Leadership that transforms”, not only being leaders but leaders who are filled with the power of the Holy Spirit to be able to transform the world starting with our families. With KT, holding Kingdom Transformers Leadership Gatherings every after a month around the country we help youth discover, develop and nurture their leadership potentials  into matured Godly leaders for holistic transformation, standing in the gap for God.
Our vision with this ministry is to make this confession a reality as written Acts 17:6 “And when they couldn’t find them, they dragged Jason and some of the brothers before the city authorities, shouting, “These men who have turned the world upside down have come here also”
8.      The bridge is Today (tBiT)
Mhubiri 12:1
MOTTO: SHAPING YOUR DESTINY TODAY.
The Bridge is Today (tBiT) is one of the ministries from Youth Kingdom Ministries (YKM) that delivers the message of encouragement, hope and edification. It recognizes the value of the past, signifies the importance of living today and maximize what today offers and establishing the necessary steps and preparations for the future. It’s because there is a direct link between what happens today and what will happen tomorrow. Today matters (gets its value and significance) if there is hope (expectation and optimism) for tomorrow and the value, importance of tomorrow is hidden in the discovery, exploits and maximization of today’s  opportunities. The significance, meaning and value of today is dependent upon the desire and hope that the future holds something more precious than just temporal tangible things of today. This call for Looking Ahead Today (LAT) implying,
ü  No more excuses on your life including actions, decisions and behavior
ü  You must be diligent, determined and focused in doing what you do today
ü  High level of accountability is expected
ü  Connection between what you say, think, act and 
“Never satisfy your hunger, never feed your physical body at the expense of your future but use what you have today to invest for what you hope in the coming future because you are too far from your past and very close to your future and the bridge is today”

 “The way you choose to look at what happened behind you(ULIKOTOKA) affects how you look and maximize life now(ULIPO) and determines how far you can see ahead of you for making your whole life meaningful (UNAKOENDA)”


9.      Kingdom worship
John4:3
MOTTO: YOUR PRESENCE IS MY DESTINY
We teach Youth to become true worshippers according to what the bible teaches, so with this ministry we teach Youth to understand the depth and meaning of worship in just simple words to make them enjoy and maximizing their relationship with God.



             

0 comments:

Post a Comment